Friday, August 31, 2012

MARTIN KADINDA AWASILI NDANI YA NEW YORK



                                                                  Martin Kadinda
The young designer kutoka hapa bongo ambaye alipata mwaliko wakwenda nchini marekani katika Edition ya Africa New York fashion weekambayo yanafanyika nchini marekani.Namzungumzia Martin kadinda ameshawasili rasmi leo nchini marekani kwa ajili ya mwaliko  huu wa Africa New York fashion week ambayo yatafanyika hii leo katika mji wa New York nchini marekani

No comments:

Post a Comment