Linex,Suma Lee na Baba Levo wapata ajali
Linex,Suma Lee na Baba Levo wapata ajali ya Gari walipokua njiani kuelekea kigoma kufanya show Kigoma
akizungumzia ajali hiyo Linex amesema hawakua ktk mwendo kasi bali ajali hiyo imesababishwa na basi la abiria lililokaa kati kati ya barabara na hivyo Suma lee ambae ndo alikua Dereva wa gari hilo ameamua kulikwepa ndipo gari likaacha njia.
No comments:
Post a Comment