Monday, September 10, 2012

Mwasiti Ala Sahani moja na AKON


Mwasiti apata Shavu la kufanya ngoma mbili na Producer aliyewahi kufanya ngoma za Akon anaejulikana kwa jina la HAKIM ABDULSAMAD.ambae ametengeneza Mama Africa,B wth u,Clup Again.lakini pia mkali huyo ameshafanya kazi na mwanamuziki anaeshikiria nafac ya kwanza kwa utajir baran Africa,Youssundou  wa Senegal.

No comments:

Post a Comment