T.I.D MBARONI TENA.MARA HII IKIDAIWA ANATAKA KUMUUA ALI KIBA soma hii hapa.
Baada
ya kuhojiwa na polisi kwa saa nane,mwanamke ambae anashutumiwa kutaka
kumuua Ali Kiba, mwanamke huyo alikiri kwamba alitumwa na T.I.D kwenda
kumuua Ally Kiba.
Upande
wa pili wa Shilingi haya ndio yaliyosemwa T.I.D amesema “kwa nini
nimuue Ally Kiba bwana, si mtu wangu nampenda kabisa bwana, kweli sasa
hivi niko polisi kwa ajili ya kuhojiwa, nilikua safari, nimerudi sasa
sijui mwanamke gani anaweza kufanya hivyo, siwezi kufanya hivyo, kwa
sababu gani? toka nimezaliwa sijawahi kugombana na Ally Kiba, ukibisha
muulize mwenyewe kama ameshawahi kukorofishana na mimi,nia ya hao watu
ni kuniangusha mimi nionekane ni mtu mbaya nisiuze mziki wangu
nisipendwe”
meneja
wa Ally Kiba nae amesema haya“hakuna taarifa zozote ambazo ziko tayari
kutolewa kwenye vyombo vya habari kwa sasa hivi tuwaachie polisi
wafanye kazi yao kwanza”
Habari
zinazidi kueleza kua mwanamke huyo pamoja na watu wengine ambao
wametumwa kukamilisha zoez hilo hawatokei mkoa wa Dar es salaam bali
wameingia Dar kwa kaz hiyo tu.Bado Uptowntz inaendelea na umakini wa
habari hii kupata tuko hilo zima keep visit us
No comments:
Post a Comment